1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kodi ya mitandao ya kijamii Uganda

Elizabeth Shoo3 Julai 2018

Maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano yamepata sura mpya nchini Uganda baada ya serikali kuanza kumtoza kodi kila anayetaka kutumia mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter na Instgram. Kodi hiyo inatozwa kwa sababu gani na Waganda wanaichukuliaje? Ni maswali yatakayojibiwa na Elizabeth Shoo katika Sema Uvume wiki hii.

https://p.dw.com/p/30isU