1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kuundwa kwa serikali ya umoja wa Kitaifa visiwani Zanzibar

25 Januari 2010

Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Zanzibar imeridhia hoja binafsi inayotaka kuwasilishwa katika kikao cha baraza la wawakilishi juu ya kuundwa kwa serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar.

https://p.dw.com/p/LgCG

Mwandishi wetu huko Zanzibar, Salma Said, anafuatilia vipi hoja hii imepokelewa kisiwani humo. Na hii hapa ripoti yake.

Mtayarishaji: Salma Said

Mhariri: Othman Miraji