1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maandamano Berlin dhidi ya magari binafsi mjini na mitaani

10 Juni 2021

Wanaharakati waandamana mjini Berlin kupinga kile wanachosema kuwa uwepo wa magari mengi mitaani na hivyo huchukua nafasi kubwa yanapoegeshwa na kuwanyima watoto maeneo ya kucheza na shughuli nyinginezo za kijamii. Mengi zaidi ni katika video hii ya Kurunzi Ujerumani

https://p.dw.com/p/3ugty