1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Magufuli asisitiza tena Tanzania haina COVID-19

22 Julai 2020

Rais wa Tanzania John Magufuli ametangaza kuwa nchi hiyo imeutokomeza ugonjwa wa Covid-19 kutokana na maombi. Magufuli aliyasema hayo katika ikulu ya Rais mjini Dodoma katika hafla ya kuwaapisha wakuu wapya wa wilaya na mikoa. Dr.Sajad Fadhil ni daktari na mtafiti kutoka nchini Canada, ipi ni tathmini yake?

https://p.dw.com/p/3fgNr