Mahakama ya Juu nchini Kenya yaiamuru Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuvipa nafasi vyama vya Jubilee na NASA kuhakiki mfumo wa kukusanyia matokeo. Upepo mkali na dharuba waendelea kulikumba jimbo la Texas, Marekani, ambako umesababisha mafuriko makubwa, huku idadi ya wakimbizi wa ndani nchini DRC ikifikia milioni 3.8. Papo kwa Papo 28.08.2017.