1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa mfungo wa Ramadhani

Amina Mjahid
3 Mei 2019

Ni muhimu sana msikilizaji kudumisha viwango vya maji mwilini maana ni moja ya mambo yanayokufanya uwe na afya njema siku zote na hasa katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Kuzingatia lishe bora pia ni kitu muhimu, Je Ni vyakula gani vinavyopaswa kuliwa wakati huu? Ungana na Amina Abubakar katika makala ya Afya yako

https://p.dw.com/p/3Hs80