1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mapigano yaendelea Mashariki mwa Kongo

1 Mei 2012

Mapigano yangali yanaendelea mkoani Kivu ya kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

https://p.dw.com/p/14nUz
Mapigano mashariki mwa Kongo
Mapigano mashariki mwa KongoPicha: AP

Mapigano yakiwa yanaendelea katika baadhi ya maeneo ya wilaya ya Masisi mkoani Kivu ya kaskazini mashariki mwa DRC, waasi wa zamani wa CNDP wakiwa ndio wanaipigana na serikali ya DRC, generali Bosco Taganda anayesakwa na mahakama ya ICC na anayetajwa kuwa ndiye anaongoza vita hivyo, amekanusha kuhusika katika vita.

John Kanyunyu na ripoti kamili kutoka Goma

(Kusikiliza ripoti bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwanidishi: John Kanyunyu

Mhariri: Othman Miraji