1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Marekani kuzindua ubalozi wake Jerusalem

Saumu Mwasimba
14 Mei 2018

Marekani kufungua ubalozi wake mjini Jerusalem baada ya kuuondowa Tel-Aviv kufuatia rais Trump kuutambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel. Waisrel wafurahishwa na hatua hiyo wakati wapalestina wakiandamana katika ukanda wa Gaza kwenye mpaka wa Israel kuipinga hatua ya Marekani. Jumuiya ya nchi za Kiarabu pia iimeipinga hatua ya kuhamishiwa rasmi ubalozi wa Marekani Jerusalem

https://p.dw.com/p/2xfxA