1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Marekani yatafakari kuuhamishia ubalozi mjini Jerusalem

Daniel Gakuba
3 Mei 2017

Rais wa Marekani anatafakari kwa dhati kuhamishia ubalozi wa nchini yake nchini Israel mjini Jerusalem, Kundi la IS limedai kuhusika na shambulizi lililoulenga msafara wa NATO mjini Kabul, Mzozo kati ya Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani na Makamanda wakuu wa jeshi, na FC Monaco yajinoa kufuana na Juventus katika nusu fainali nyingine ya Champions League..Ni Papo kwa Papo tarehe 03.05.2017.

https://p.dw.com/p/2cIyC