Baadhi ya wanasiasa Tanzania wamewataka viongozi wa dini kuhubiri haki, amani na utulivu na sio kuwaombea kura wagombea. Je, hisia za Wamarekani zikoje kuelekea uchaguzi mkuu wa Novemba. Na wakimbizi wanawake wanasema ukatili dhidi yao umeongezeka kutokana na janga la maambukizi ya Corona katika nchi za Afrika.