1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya asubuhi 26.05.2021

TSA / S08S26 Mei 2021

Watoto kwenye nchi kadhaa wametumbukia katika mazingira ya kutumikishwa kutokana na athari za kiuchumi zilizosababishwa na janga la virusi vya corona+++Kubadilisha utaratibu wa ulimwengu kunaleta changamoto mpya kwa biashara+++Kundi la wataalam wa masuala ya mazingira wanatoa wito kwa Benki ya Maendeleo ya Afrika, AFDB, kutotoa usaidizi wowote kwa miradi isiyo ya nishati safi barani Afrika.

https://p.dw.com/p/3tx81