Ujerumani na Uhispania zaahidi kuungana katika suala la wahamiaji wanaoingia Ulaya//Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Yemen asema mazungumzo kati ya pande zinazozozana yatajikita katika serikali ya mpito//wanaounga mkono siasa za mrengo wa kulia Marekani kuandamana mbele ya Ikulu ya White House leo katika maadhimisho ya maandamano ya Charlotesville.