Serikali ya Yemen inayoungwa mkono na Saudi Arabia na waasi wanaopigania kujitenga kwa eneo la Kusini wanatarajiwa kutangaza makubaliano ya kumaliza mvutano// Hujuma za Uturuki kaskazini mwa Syria zinawaathiri pia raia// Kenya- Vuguvugu la wafanyabiashara wanaopinga agizo la serikali la makasha ya mizigo yanayoingia bandarini Mombasa kubebwa na gari la moshi la kisasa kutoka Mombasa hadi Nairobi.