1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 16.02.2019

Sylvia Mwehozi
16 Februari 2019

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amotoa onyo kali dhidi ya kuuacha muundo wa siasa za dunia kusambaratika. Wanamgambo wa Boko Haram wamewaua watu wanane huko Kaskazini mashariki mwa Nigeria. Iran yazinyoshea kidole Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu ikizituhumu kuhusika na shambulio lililowaua askari 27 wa jeshi la mapinduzi.

https://p.dw.com/p/3DVjl