1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 19.06.2022

19 Juni 2022

Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kukutana kesho Jumatatu mjini Nairobi kujadili mzozo wa DRCongo. Urusi imesema imewaua zaidi ya 'majenerali na maafisa' 50 wa Ukraine katika shambulizi la makombora. Na leo ni Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Unyanyasaji wa Kijinsia wakati wa Migogoro.

https://p.dw.com/p/4CuxR