1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 23.01.2022

23 Januari 2022

Taliban yaanza mazungumzo na mataifa ya Magharibi. Idadi ya waliokufa katika shambulio la gereza yaongezeka nchini Yemen. Serikali ya Burkina Faso yakanusha jeshi kuchukua nchi baada ya kusikika milio ya risasi.

https://p.dw.com/p/45yhu