1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni:17.02.2019

Zainab Aziz
17 Februari 2019

Waziri wa mambo ya nje wa Iran atahadharisha juu hatari ya kutokea vita baina ya nchi yake na Israel. Katika suala la Brexit Rais wa Estonia asema makubaliano juu ya mpaka wa Ireland hayatabadilishwa. Maalfu washiriki kwenye zoezi la kuingizwa misaada nchini Venezuela

https://p.dw.com/p/3DXfP