1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 23.02.2019

Yusra Buwayhid
23 Februari 2019

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameshapiga kura yake katika uchaguzi wa rais unaofanyika leo. Upande wa upinzani Venezuela kuingiza misaada ya kiutu nchini humo kupitia mpaka wa Colombia. Na, Kardinali wa ngazi ya juu wa Kanisa Katoliki akiri mafaili ya mpadri wanaoshukiwa kwa unyanyasaji wa ngono yaliharibiwa.

https://p.dw.com/p/3DxRc