1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana ya DW kiswahili: 26.09.2020

Tatu Karema
26 Septemba 2020

Wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa wasema Urusi na China zilizuia kutolewa rasmi kwa ripoti ya wataalamu wa Umoja huo kuhusu Libya, shirika la afya ulimwenguni WHO laonya juu ya ongezeko kubwa la vifo kutoka kwa janga la virusi vya corona na waziri mkuu mteule wa Lebanon Mustapha Adib amejivua jukumu la kuunda baraza la jipya la mawaziri

https://p.dw.com/p/3j2NL