1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mazingira ya siasa yabuni nafasi za ajira Tanzania

21 Julai 2020

Wanamitindo, wabunifu na washonaji nguo ni miongoni tu mwa wale wanaonufaika kutokana na mazingira ya siasa nchini Tanzania kwa kushona sare za kisiasa. Kwenye Kurunzi, Ahmad Juma anaangazia juhudi za washonaji nguo na namna ambavyo soko la bidhaa zao limetanuka kutokana na mazingira ya siasa.

https://p.dw.com/p/3fe9w