Mbappe kuihama PSG?
20 Mei 2019Matangazo
Mbappe alishinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka na mchezaji bora mwenye umri mdogo.
Lakini ameonyesha mashaka iwapo ataendelea kuwa mchezaji wa PSG msimu ujao licha ya kuthibitisha mwezi Machi kwamba hataihama klabu hiyo ya Ufaransa.
Mbappe amesema amefikia sehemu katika taaluma yake ya soka sasa ambapo anaanza kupata ufanisi na anatarajia kuendelea hivyo iwe ni hapo PSG au katika klabu nyengine Ulaya.