1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mbunge aliyeuwawa Uganda azikwa

Saumu Mwasimba
11 Juni 2018

Mbunge Ibrahim Abirige aliuwawa na watu wasiojulikana waliomfyatulia risasi akiwa ndani ya gari lake nyumbani kwake nje ya mji mkuu wa Kampala. Ni mmoja wa watu mashuhuri walioko katika orodha ya waliouwawa karibuni na watu wasiojulikana. Bunge linataka uchunguzi ufanyike haraka.

https://p.dw.com/p/2zIzU