1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Meza ya Duara: Miaka 25 baada ya mauaji Rwanda

Mohammed Khelef
23 Aprili 2019

Wiki hii kwenye Maoni Mbele ya Meza ya Duara tunaiangazi miaka 25 baada ya mauaji ya halaiki nchini Rwanda, ambayo yaliangamiza maisha ya zaidi ya watu 800,000 wengi wao wa jamii ya Kitutsi. Mohammed Khelef anasimamia mjadala unaohudhuriwa pia na Profesa Pacifique Malonga kutoka Kigali, Halid Hassan kutoka Bujumbura, McDoel Kalisa akiwa nchini Sweden na Bollen Ngeti kutoka Tanzania.

https://p.dw.com/p/3HHeK