1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mifuko ya plastiki yazichafua fukwe za Afrika ya Mashariki

14 Julai 2011

Fukwe za kuvutia katika pwani ya Afrika ya Mashariki zinaelekea kuwa kama majalala kutokana na uchafu wa mifuko ya plastiki ambao umeanza kuathiri maisha ya samaki na wakaazi wanaotegemea bahari kwa maisha yao.

https://p.dw.com/p/RZms
Uvuvi kwenye pwani ya Msumbiji
Uvuvi kwenye pwani ya MsumbijiPicha: J. Sorges

Thelma Mwadzaya anazungumzia hatari ambayo mazingira na maisha ya mwanaadamu yanahatarishwa kupitia uchafu wa mifuko ya plastiki kwenye fukwe za pwani ya Afrika ya Mashariki.

Mtayarishaji: Thelma Mwadzaya
Mhariri: Othman Miraji