1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mimba za utotoni kwa wasichana wa mitaa ya mabanda Kenya

Thelma Mwadzaya/MMT29 Septemba 2020

Uzazi ni jambo zito kwa mwanamke, hata hivyo ulezi unapoanza mapema mambo yanabadilika. Wasichana wanaoishi katika mitaa ya mabanda Kenya wapo hatarini kutumbukia katika hilo kwasababu ya hali za nyumbani. Makala yetu leo inaangazia hilo na msimulizi ni Thelma Mwadzaya.

https://p.dw.com/p/3j9C7