1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mitandao ya kijamii yasababisha wivu na upweke

Yusra Abdallah Buwayhid22 Machi 2017

Utumiaji wa mitandao ya kijamii wa masaa mengi unapelekea mtu kujihisi ametengwa na jamii na ushindani wa kuweka picha na vidio katika mitandao hiyo, unaleta hisia za wivu na choyo miongoni mwa watumiaji

https://p.dw.com/p/2ZiVp