1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkataba wa kampuni ya mafuta wabatilishwa nchini DRC

15 Julai 2008

Serikali ya DRC imetangua mkataba wake na kampuni ya Tullow Oil wa uchimbaji mafuta kwenye ziwa Albert .

https://p.dw.com/p/Ed0b

Kongo imesema itatafuta wateja wapya katika mpango wake wakuzalisha mafuta kwenye eneo hilo . KONGO na Uganda zilisaini mkataba wa uzalishaji mafuta kwenye eneo la pamoja la Albertine Gragen katika ziwa Albert ambalo ni eneo la mpakani baina ya nchi mbili hizo.


Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo