1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa maaskofu wa kanisa la Anglikana nchini Tanzania

21 Februari 2007

Mkutano wa maaskofu wa kanisa la Anglikana nchini Tanzania hatimaye umemalizika kwa kutolewa azimio lenye msimamo mkali dhidi ya ndoa za watu wa jinsia moja ndani ya kanisa hilo.

https://p.dw.com/p/CHJk

Pia azimio hilo limelitaka kanisa la APISCOP tawi la marekani la kanisa la Anglikana kuomba radhi na kuacha mara moja kufungisha ndoa za mashoga na wasagaji. Badra Masoud anaripoti kutoka Dar es Salaam.