1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Morgan Tsvangirai

Morgan Richard Tsvangirai ni mwanasiasa wa zimbawe aliewahi kuwa waziri mkuu kunazia 2009 hadi 2013. Ndiye Rais wa chama cha Movement for Democratic Change - Tsvangirai na ni mpinzani muhimu dhidi ya Rais Robert Mugabe.