1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mpango wa kuhamisha raia Aleppo wakwama

14 Desemba 2016

Mpango wa kuwahamisha waasi na raia kutoka mji wa Aleppo wakwamishwa na mashambulizi mapya, Kundi linalojiita Dola la Kiislamu IS ladai kuhusika na shambulizi la kanisa nchini Misri na kusababisha vifo vya watu 25 na mtoto wa kiafghanistan Murtaza Ahmadi akutana na Lionel Messi.

https://p.dw.com/p/2UH79