Ikulu ya White House yautaja uchunguzi wa ung'atuzi kuwa kinyume cha sheria/ Umoja wa Mataifa unakabiliwa na mzozo wa fedha/ Maabara ya kilimo yazinduliwa nchini DRC/ Uturuki inaendelea na mipango yake ya kulivamia kijeshi eneo la kaskazini mashariki la Syria