JamiiMvua zasababisha maafa DarTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiIddi Ssessanga16.04.201816 Aprili 2018Watu tisa wamefariki na wengine kadhaa wamejeruhiwa kutokana na mvua zinazoendelea kulikumba jiji la Dar es Salaam. Hali ni mbaya hasa kwa wakaazi wa mambondeni, ambako nyumba zaidi ya 300 zinaripotiwa kusomba na mafuriko ya mvua hizo.https://p.dw.com/p/2w9R7Matangazo