1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwaka 2020 Afrika yapania kumaliza vita barani humo

Saumu Mwasimba
24 Machi 2020

Viongozi wa Afrika wapania kunyamazisha milio ya risasi kabisa katika bara lao na kuelekeza juhudi za kutafuta maendeleo makubwa zaidi na amani ya kudumu katika agenda ya mwaka 2063.Viongozi wa Umoja wa Afrika wanaamini inawezekana lakini wachambuzi wana mashaka. Je Afrika ina nafasi gani kuelekea kufanikiwa kwa azimio lao?Sikiliza Makala yetu leo .

https://p.dw.com/p/3Zxjq
Äthiopien Addis Abeba Gipfeltreffen der Staatschefs der Afrikanischen Union
Picha: picture-alliance/AA/Palestinian Prime Ministry Office