1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Muziki

Mwanaharakati anaetaka kuibadilisha Goma kwa muziki

Yusra Buwayhid
10 Aprili 2019

Muziki kweli unaweza kubadilisha dunia? Mwanaharakati Yves Kalwira kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anatarajia kufanikiwa na hilo. Anawakusanya pamoja wanamuziki wenye vipaji mjini mwake, ili kuutangaza mji huo duniani kote.

https://p.dw.com/p/3GXlC