1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwisho wa analogia leo Tanzania

Admin.WagnerD31 Desemba 2012

Hii leo ikiwa ni siku ya mwisho ya matumizi ya mfumo wa Analogia katika sekta ya utangazaji nchini Tanzania, ambapo watumiaji na wadau wote wa vyombo vya habari wanageukia mfumo wa Digitali.

https://p.dw.com/p/17BWx
ARCHIV - Die undatierte zeitgenössische Aufnahme zeigt Emil Berliner mit seinem ersten Grammophon und einer der ersten Zink-Schallplatten. Vor 125 Jahren meldete der Erfinder das Patent für Platte und Grammophon an. Heute gehen Tonmeister davon aus, dass die Platte als einziges analoges Medium in der digitalen Welt überleben wird. Foto: Deutsche Grammophon/dpa (zum dpa-Korr: «Direct to Disc: Die Schallplatte bleibt nach 125 Jahren lebendig» vom 20.09.2012) +++(c) dpa - Bildfunk+++
GramaphonePicha: picture-alliance/dpa

Swali linaloulizwa je watanzania kweli wanafahamu uhamaji huo na je swala hili limekuja wakati muafaka? Kwa kutaka kujua zaidi kutoka kwa raia wa Tanzania Amina Abubakar amezungumza na baadahi ya raia hao kutoka maeneo tofauti ya taifa hilo kwa njia ya simu. Kusikiliza kauli za raia hao bonyeza alama ya kusikiliza masikioni.

Mwandishi Amina Abubakar
Mhariri Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi