1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwitikio wa kudhibiti COVID-19 Uganda

25 Machi 2020

Virusi vya corona vimeutikisa ulimwengu mzima. Namna pekee ya kujiepusha na maambukizi yake yanayosababisha maradhi ya kupumua ya COVID-19 ni kuchukua tahadhari kadhaa zinazosisitizwa kila kona ya dunia. Angalia mwitiko wa wananchi wa Uganda katika maeneo mbalimbali ya umma.

https://p.dw.com/p/3a14c