1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mzee wa Kampala anayewasaidia wanafunzi kuvuka barabara

7 Julai 2015

Maisha ya mzee mmoja ambaye kwa kipindi cha zaidi ya miaka 27 amekuwa akiwasaidia watoto wa shule za msingi mjini Kampala, nchini Uganda, kuvuka barabara. Kazi hii anaifanya bila malipo yoyote.

https://p.dw.com/p/1Fu8x
Kampala Uganda Straße Taxi Busse
Picha: Getty Images/ I. Kasamani

Mzee wa Kampala