1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NAIROBI: Mwanamke kugombea uchaguzi wa rais Kenya

16 Novemba 2007
https://p.dw.com/p/CI1c

Tume ya Uchaguzi nchini Kenya imewaruhusu wagombea 9 kushiriki katika uchaguzi wa rais utakaofanywa Desemba 27.

Mwanamke mmoja ni miongoni mwao.Wagombea wengine 4 wamekataliwa.Mbali na Rais Kibaki hata waziri wa nje wa zamani Musyoka na kiongozi wa upinzani Odinga watagombea uchaguzi huo.