1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Vyombo vya habari

Nani atarithi akaunti yako ya Facebook?

Elizabeth Shoo20 Julai 2018

Inakadiriwa kwamba kila siku watumiaji 8000 wa Facebook wanafariki dunia. Lakini ni nini hatma ya akaunti zao katika mtandao huo wa kijamii? Je, mzazi ana haki ya kupewa neno la siri la akaunti ya Facebook ya mwanae aliyekufa? Ni baadhi ya maswali tutakayojishughulisha nayo katika Sema Uvume naye Elizabeth Shoo.

https://p.dw.com/p/31prs