1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nawaz Sharif alaumu Magharibi

2 Septemba 2007
https://p.dw.com/p/CBTL

ISLAMABAD:

Waziri mkuu wa zamani wa pakistan aishie uhamishoni Nawaz Sharif amezilaumu nchi za magharibi kwa kumuungamkono kama kipofu jamadari Musharraf ili asalie bado madarakani.

Alizitaka nchi za magharibi kutofautisha wazi baina ya utawala wa kidemokrasi na wa mabavu ulioisongeza Pakistan ukingoni mwa kutumbukia katika janga.

Nawaz Sharif amesisitiza azma yake ya kurejea nyumbani mwezi huu