1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CCM yapunguza wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu

14 Desemba 2016

Chama tawala nchini Tanzania (CCM) kimepunguza idadi ya wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu katika juhudi za kupunguza matumizi

https://p.dw.com/p/2UFV2
Tansania Wahlen John Magufuli
Mwenyekiti wa CCM, Rais John Pombe MagufuliPicha: Reuters

J2.14.12.2016Tansania: CCM - MP3-Stereo

Kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kinachotawala nchini Tanzania, kimeazimia kupunguza idadi ya wajumbe wa kamati hiyo kutoka 34 hadi 24, na wajumbe wa Halmashauri Kuu kutoka 388 to 158. Nini tafsiri ya mabadiliko haya chini ya uongozi wa mwenyekiti mpya ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli? Sudi Mnette amezungumza na mchambuzi wa siasa za Tanzania, Jenerali Ulimwengu. Sikiliza mahojiano hapa.