1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Odinga ayapinga matokeo ya awali, Kenya

Sylvia Mwehozi
9 Agosti 2017

Upinzani Kenya wakataa matokeo ya awali ya uchaguzi uliofanyika jana. Rais Jacob Zuma anusurika katika kura ya bunge ya kutokuwa na imani nae. Na Korea Kaskazini huenda ikakishambulia kisiwa cha Marekani cha Guem kilichoko bahari ya Pasifiki. Papo kwa Papo 09.08.2017.

https://p.dw.com/p/2hwhZ