1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Operesheni ya pamoja ya DRC na Uganda yamaanisha nini?

Babu Abdalla30 Novemba 2021

Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zilianza hapo jana oparesheni ya pamoja ya angani mashariki mwa Congo dhidi ya waasi wa ADF. Babu Abdallah amezungumza na mchambuzi wa masuala ya usalama nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambaye ameanza kwa kutoa tathmini yake juu ya oparesheni hiyo ya kijeshi?

https://p.dw.com/p/43fdA

Msemaji wa jeshi la Uganda Flavia Byekwaso alithibitisha kutokea kwa shambulio hilo la anga kupitia mtandao wake wa Twitter bila ya kutoa maelezo zaidi. Hata hivyo Jumatatu wiki hii serikali ya Congo ilikanusha kwamba ilikubaliana kufanya oparesheni ya pamoja na Uganda.