1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Papo kwa Papo 27.06.2016

27 Juni 2016

Maelfu ya wahamiaji waokolewa katika pwani ya Libya, Rais wa Bunge la Ulaya, Martin Schulz aitaka Uingereza kuanza mapema mchakato wa kuondoka kwenye Umoja wa Ulaya na Katika michuano ya Euro 2016, Ujerumani, Ufaransa na Ubelgiji zafuzu robo fainali.

https://p.dw.com/p/1JEZF