JamiiPopo yatima wapata hospitali maalumu AustraliaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiYusra Buwayhid15.02.201915 Februari 2019Popo wachanga waliopoteza mama zao baada ya kung'atwa na kupe wanahudumiwa masaa ishirini na nne katika hospitali ya Tolga Bat nchini Australia. Na wakishajiweza, wanaachiliwa huru kuishi maisha yao misituni nchini humo. https://p.dw.com/p/3DRkZMatangazo