1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

POTSDAM: mawaziri wamaliza mkutano juu ya mabadiliko ya hali ya hewa

18 Machi 2007
https://p.dw.com/p/CCI1

Mawaziri wa nchi tajiri nane duniani,wamemaliza mkutano wao na mawaziri wanzao kutoka nchi zinazoinukia kiuchumi uliofanyika katika mji wa Potsdam Ujerumani juu ya hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.

Waziri wa mazingira wa Ujerumani bwana Sigmar Gabriel ametoa mwito juu ya kuwapo mwambatano baina ya kukabiliana na mabadiliko ya hewa na maendeleo ya uchumi.