1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Raia wa marekani wanaongoza kwa kumiliki bunduki duniani

Sudi Mnette
19 Juni 2018

Ripoti inayotolewa kila mwaka na shirika angalizi kuhusu silaha ndogo imesema kuna bunduki bilioni moja kote ulimwenguni, zikiwemo milioni 857 zilizoko mikononi mwa raia, huku raia wa Marekani wakiwa wamiliki wa bunduki nyingi.

https://p.dw.com/p/2zrbL