SiasaRaia wa marekani wanaongoza kwa kumiliki bunduki dunianiTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSudi Mnette19.06.201819 Juni 2018Ripoti inayotolewa kila mwaka na shirika angalizi kuhusu silaha ndogo imesema kuna bunduki bilioni moja kote ulimwenguni, zikiwemo milioni 857 zilizoko mikononi mwa raia, huku raia wa Marekani wakiwa wamiliki wa bunduki nyingi.https://p.dw.com/p/2zrbLMatangazo