1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais Joseph Kabila ziarani Kivu Kaskazini

20 Septemba 2007

Rais Joseph Kabila alifanya ziara ya ghafla hapo jana katika eneo tete la Kivu Kaskazini ambako mapigano kati ya wanajeshi na waasi yamesababisha watu 90,000 kukimbia makaazi yao.

https://p.dw.com/p/CH7y
Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo
Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya KongoPicha: AP Photo