1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais Kabila apendekeza kuundwa serikali ya mseto

Saleh Mwanamilongo14 Januari 2019

Rais Joseph Kabila amependekeza kuanzisha ushirikiano kati ya vuguvugu la vyama vinavyomuunga mkono na rais mteule Felix Tshisekedi kwa ajili ya kuunda serikali ya mseto.

https://p.dw.com/p/3BVXs

Wakati huohuo kumezuka mzozo ndani ya vuguvugu la Rais Kabila kufuatia matokeo ya uchaguzi wa bunge. Saleh Mwanamilongo amekuandalia ripoti ifuatayo.