1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

RAMALLAH: Abbas ameihimiza Israel irejee kwenye majadiliano

16 Novemba 2006
https://p.dw.com/p/CCsP

Rais Mahmoud Abbas wa Wapalestina ametoa mwito kwa Israel kurejea kwenye meza ya majadiliano. Amesema Wapalestina wapo tayari kufanya majadiliano ya dhati kuumaliza mgogoro wa miongo kadhaa.Abbas ameihimiza Israel kutoiacha nafasi ya kupata amani.